![]() | Kuelimisha wanafunzi ili | |
| kujiandaa na mitihani. | ||
![]() | Kuwaelimisha na kuwaandaa | |
| wanafunzi ili wamudu maisha yao ya baadaye. |
| PICHA ZA FAMILIA YA WAPO Picha za waimbaji na watu mbalimbali wanaoimba au kuhudhuria Ibada ya HL |
| Waimbaji wa nyimbo za Injili Mafanikio yao katika kutangaza Jina la Yesu Kristo Kwaya ya Gethsemane Vingunguti |
| Shule za Sekondari na Maendeleo yao Historia, mafanikio, malengo na matarajio ya shule mbalimbali |
| Jiunge na Shule za FAMILIA YA WAPO MISSION |
| Mwanafamilia wa WAPO katika Ushuhuda Waliopona ukimwi, waliofanikiwa kupata ajira baada ya kuombewa nk. |
| Wakati Bwn Bon Mwaitege alipotamka, "Ushindwe shetani" Akina Mama wawili walianguka na kubebwa juu juu na wahudumu wa huduma ya Hakuna Lisilowezekana wakipelekwa chumba cha maombi. Huku wakijigara gaza chini kwa kupagawa na mapepo kila alipotamka Ushindwe Shetani. Akina Mama hao hawakuweza kudumu kuwepo katika ukumbi huo ulioonekana kujaa uweza wa Mungu bali kubebwa na kupelekwa kwenye... |
| Wanafunzi wa TIRAV SECONDARY SCHOOL |
| Habari za Wanamziki wa Injili, Maendeleo ya Elimu Tanzania, website yako ndani ya web yetu na Shuhuda mbalimbali. |
| Bi. Janet Simon: Kutoka Tanga, aliugua Ukimwi baada ya Maombezi kwa Jina Yesu; Alipona. Bi. Janet ni moja wa wanafamilia ya WAPO MISSION ambaye amekuwepo kwenye maombezi haya baada ya dada mmoja mfanyakazi mwenzie ambaye alimwelekeza BCIC centre ili aombewe... Ushuhuda huu unapatikana
|
|
| SHULE YA SEKONDARI TIRAV Uanzishaji wa shule ulitokea mara baada ya kupata taabu ya maisha hasa malipo ya fedha kidogo za mshahara Tshs. 50,000/= na mahitaji mengine kama posho, usafiri na Pango la nyumba, ukikusanya mapato yangu yote ni Tshs.59,000/-. Fedha hizo hazikukidhi haja ya kuendeshea maisha yangu na familia. |
| BETHELI MOTO NDANI YA UKUMBI WA BCIC WAPO MISSION - MBEZI Karibu uone matukio yao |
| When I was about 13 years old. I heard a voice telling me that go to preach! However I said, answering or responding unto that voice, that; I am too young to preach the Gospel. Then the voice remained silently... |
| TUNAMWACHIA MUNGU "YESU" AMPATIE BARAKA NA AFYA NJEMA Ndivyo alivyomalizia Dada huyu wa kihindi kutoa ushuhuda wao. Kama anavyoonekana akiwa ameshika kipaza sauti, Dada huyu mwenye asili ya Kihindi, alianza kudadavua sababu za wao familia nzima kujibeba watu wote wazima wanne na mtoto mdogo mmoja hadi madhabahuni... |
| Bwn Medard Ezekiel Nilikuwa nikitembelea gari la kukodi kila nilipotaka kutoka nje ya nyumbani. Nilifika hapa Jijini Dar es Salaam nikitokea Hospitali ya Rufaa ya Bugando ya mjini Mwanza, alieleza Bwana Medard Ezekiel. Ndugu huyu ambaye amekuwepo katika Huduma ya Hakuna Lisilowezekana inayoendeshwa na Askofu Sylvester Gamanywa, maeneo ya Mbezi Beach. Kwa kusoma ushuhuda wake zaidi gonga hapa... |